- Kaloleni Pentekoste, Opposite Kaloleni Sec. School Arusha, Tanzania
Shalom Fm 97.3
Sauti ya Mungu


Shalom Fm 97.3
Arusha. Manyara. Kilimanjaro
Shalom Redio imefunguliwa chini ya kanisa la Kaloleni Pentecoste, na kusimamiwa na uongozi wa kanisa. Kazi kubwa na lengo kuu la Shalom Redio ni kuutangaza ufalme wa Mungu kwa mataifa na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wa Yesu, ili kutimimiza agizo kuu la Kristo.
BAADHI YA VIPINDI VYETU KILA SIKU

SAUTI ZA ASUBUHI
7AM-9AM (MON-FRI)
Emmanuel Kimaro

MAFURIKO YA BARAKA
11AM-1PM (MON-FRI)
Jeremia Mgasha

GOSPEL EXPLOSION
3PM-5PM (MON-FRI)
Samwel Ebenezer

DARASA LA NENO NA MAOMBI
9PM-11PM (MON-SUN)
Mch Akyoo

SAA YA WOKOVU NI SASA
2PM-3PM (MON-FRI)
Mama Bishop Merisheki.

IBADA ZA NENO NA MAOMBEZI (DNPC AlhamisiĀ – Jumamosi
3PM-6PM

HABARI KWA KINA
7PM-8PM (MON-FRI)
Samwel Wilson

ANGA LA MICHEZO
6PM-7PM (MON-FRI)
William Mbando

DONDOO ZA KIROHO
9AM-10AM (MON-FRI)
Ktb. Baraka Bigurube
Unaweza Weka Sadaka yako kupita,
Akaunti ya Benki au kwa Lipa Namba Airtel.
JINA LA AKAUNTI – DNPC KALOLENI – SHALOM RADIO
NAMBA YA AKAUNTI: 40810168728
JINA LA AKAUNTI – SHALOM RADIO
LIPA NAMBA : 800222
NENO LA MWAKA 2025
NI MWAKA WA KUENDELEA KUWA NA NGUVU
Na wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuzidi kuwa wengi, nao wakaendelea na kuongezeka nguvu; na ile nchi ilikuwa imejawa na wao.
“Kutoka 1:7”
Wanaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi; watamwona Mungu wa miungu huko Siyoni.
“Zaburi 84:7”