- Kaloleni Pentecoste, Opposite Kaloleni Sec. School Arusha, Tanzania
Shalom Fm 93.7
Sauti ya Mungu
Shalom Fm 93.7
Arusha. Manyara. Kilimanjaro
Shalom Redio imefunguliwa chini ya kanisa la Kaloleni Pentecoste, na kusimamiwa na uongozi wa kanisa. Kazi kubwa na lengo kuu la Shalom Redio ni kuutangaza ufalme wa Mungu kwa mataifa na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wa Yesu, ili kutimimiza agizo kuu la Kristo.
BAADHI YA VIPINDI VYETU KILA SIKU

SAUTI ZA ASUBUHI
7AM-9AM (MON-FRI)
Emmanuel Kimaro & Monica Lema

MAFURIKO YA BARAKA
11AM-1PM (MON-FRI)
Jeremia Mgasha

GOSPEL EXPLOSION
3PM-5PM (MON-FRI)
Samwel Ebenezer

DARASA LA NENO NA MAOMBI
9PM-11PM (MON-SUN)
Mch Akyoo

SAA YA WOKOVU NI SASA
2PM-3PM (MON-FRI)
Mama Bishop Merisheki.

IBADA ZA NENO NA MAOMBEZI (DNPC AlhamisiĀ – Jumamosi
3PM-6PM
NENO LA WIKI
Wiki ya kupita juu yao, maadui zako
1 Wakorintho 15:25